BENAYOUN AKIMTWANGA SHABIKI |
Yossi Benayoun aliyewahi kukipiga Liverpool amejikuta katika wakati mgumu wakati nyota wa zamani wa QPR, Joey Barton kumuangushia lugha ya matusi kupitia mtandao wa Twitter.
Barton amemponda Benayoun
waliowahi kucheza pamoja akidai ni mpuuzi kutokana na kitendo cha kushiriki
kupigana na mashabiki waliovamia timu ya Maccabi Haifa ikiwa uwanjani nchini
Austria na kusababisha mechi kuvunjika.
Mashabiki hao wenye asili
ya Palestina na wengine Uturuki waliingia na kuanza kuwapiga wachezaji wa
Maccabi Haifa akiwemo Benayoun, nao wakajibu mapigo.
MANENO MAKALI YA BARTON.. |
0 COMMENTS:
Post a Comment