July 22, 2014



Maximo raia wa Brazil amekuwa akifundisha masuala kadhaa katika kikosi chake kama vile upigaji wa pasi nzuri za chini au juu.

Lakini katika mazoezi ya leo asubuhi, aliyatumia zaidi kutoa mafunzo ya upigaji krosi bora na namna ya kumalizia.
Kabla ya hapo, kocha huyo wa zamani wa Taifa Stars alikuwa akiwapa wachezaji wake mazoezi magumu ya ufukweni.

Maximo kwa kushirikiana na msaidizi wake, Leonaldo Neiva wako katika maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara.

Makocha hao wawili wamechukua nafasi ya Hans van der Pluijm raia wa Uholanzi na Charles Boniface Mkwasa, mzalendo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic