Wachezaji nyota, Luis Figo na Cristian Karembeu wa
kikosi cha wakongwe cha Real Madrid, wameichafua kanzu ya beki na kocha wa
zamani wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ kwa kuweka saini zao.
Figo na Karembeu, wala hawakujivunga wakiwa
na mmoja wa viongozi wao wa benchi la ufundi, wakaweka saini zao hatua kwa hatua.
Jambo hilo lilionekana kumfurahisha zaidi
Julio ambaye alitumia dakika kadhaa kuziangalia saini hizo huku akitabasamu.
Baadhi ya wadau waliokuwa eneo hilo walikuwa
akimtania kwamba atabaki na kanzu hiyo bila ya kuifua, lakini naye alitia
mbwembwe kwa kuwajibu:
0 COMMENTS:
Post a Comment