Klabu ya Juventus imeamua kuvunja ukimya
baada ya kuwasiliana na Manchester United ikieleza inataka kumnasa mshambuliaji
Javier Harnandez ‘Chicharito’.
Watailiano hao hawajakata tamaa baada ya
kusikia Man United iko katika hatua za mwisho kumnasa Angel Di Maria kutoka
Real Madrid.
Bado haijajulikana uamuzi wa Man Unuted
kuhusu Chicharito raia wa Mexico utakuwa upi.
0 COMMENTS:
Post a Comment