Kitendo cha wakala wa Angel Di Maria, Jorge
Mendez kuonekana na Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal wakiwa na furaha
kubwa, imedhibitisha kuwa sasa mchezaji huyo anatua Man United.
Mendez ambaye pia ni wakala wa Ronaldo
alionekana akiwa ndani ya gari pamoja na van Gaal, wote wakiwa na furaha kubwa.
Wote walikwenda kwenye mazoezi ya Manchester
United kwenye Viwanja vya Aon na tayari mazungumzo yameishafanyika.
|
0 COMMENTS:
Post a Comment