September 23, 2014

 Baada ya Man United kupokea kipigo cha mabao 5-3 kutoka kwa Leicester City, kiungo wake Angel di Maria ameonekana mitaani akiranda.

Di Maria raia wa Argentina alionekana akifanya manunuzi ya vitu mbalimbali.
Lakini kabla aliingia kwenye ATM na kuchota ‘minoti’ aina ya pauni, halafu akaanza kufanya manunuzi.
Di Maria amejiunga na Man United akitokea Real Madrid.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic