September 15, 2014


Angalia mshambuliaji wa Yanga, Jaja akiibusu medali yake ya mechi ya Ngao ya Jamii baada ya kuifunga Azam FC kwa mabao 3-0.

Jaja alifunga mabao mawili kwa ufundi wa juu na kuwanyamazisha waliokuwa hawamuamini.
Wakati Mbrazil huyo anashangilia medali yake na pembeni Ngao ya Jamii inaonekana, nyuma yake Mwenyekiti wa Azam FC, Said Mohammed anaonekana ni mwenye majonzi kweli.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic