September 2, 2014

Kiungo Sami Khedira wa Real Madrid atakuwa nje ya uwanja kwa wiki sita.

Mjerumani huyo ni majeruhi baada ya kuumia ‘kiazi’ cha mguu wake wa kushoto.
Daktari wa Real Madrid amesema atakuwa nje ya uwanja kwa wiki sita, maana yake atarejea uwanjani katikati ya mwezi Oktoba.

Hivi karibuni kulikuwa na taarifa kwamba Khedira ana mpango wa kujiunga na Arsenal, lakini mwishoni Madrid ilieleza kuwa bado inamhitaji.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic