October 22, 2014

 Kocha wa Yanga, Marcio Maximo raia wa Brazil alishindwa kuficha mapenzi yake kwa kipa wa Simba, Ivo Mapunda.

Wawili hao walifanya kazi katika kikosi cha Taifa Stars na kwa mara ya kwanza walikutana tena uwanjani mara baada ya suluhu Yanga na Simba zilipokutana wiki iliyopita.
Maximo alitumia takribani dakika moja na nusu kumkumbatia na baadaye kuzungumza na Ivo huku sura yake ikionyesha mapenzi ya dhati kwa kipa huyo wa zamani wa Yanga na Taifa Stars..


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic