Beki Marcelo sasa ni full kujidai baada ya kufikisha mechi 282
akiichezea Real Madrid zikiwemo za kirafiki na mashindano.
Kwa mechi hizo, Marcelona raia wa Brazil amekuwa mgeni wa tatu mwenye
mechi nyingi akiwa na Madrid.
Tena inaonekana ni mwenye mafanikio zaidi kwa kuwa amefikisha idadi hiyo
ya mechi akiwa na umri wa miaka 26 tu!
Wageni wengine waliowahi kupiga mechi nyingi zaidi ni Hugo Sánchez
kutoka Mexico aliyefikisha 281.
Wengine ni Uli Stielke (mechi
306) na beki wa kushoto kutoka Brazil, Roberto Carlos aliyepiga mechi 527.
0 COMMENTS:
Post a Comment