November 24, 2014


Kiungo Frank Domayo na mshambuliaji Joseph Kimwaga wameondoka nchini kwenda kuendelea na matibabu nchini Afrika Kusini.


Wawili hao wameondoka kwenda kuangalia afya baada ya kuwa wamepata matibabu nchini humo hapo awali.

Nahodha John Bocco, aliwasindikiza vijana hao kabla ya kukwea pika kwenda Afrika Kusini.

Domayo na Kimwaga wanatarajiwa uwanjani raundi ya pili itakapoanza 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic