Wadau mbalimbali wa
soka nchini pia wanamichezo mbalimbali wamejitokeza leo kumuaga mama wa
mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans POppe.
Shughuli hiyo ya
kuaga imefanyika leo nyumbani kwa Hans Poppe Ununio jijini Dar es Salaam.
Anna Mercati ,84,
amefariki dunia juzi na mazishi yake yatakuwa mkoani Iringa.
Safari ya kwenda
Iringa imeanza na mazishi yatakuwa kesho mjini humo.
0 COMMENTS:
Post a Comment