December 9, 2014


Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha Chelsea wamewashitukiza watoto waliolazwa kwenye Hospitali ya Westminster jijini London, England kwa kwenda kuwatembelea pia kuwapa zawadi za sikukuu ya Krismas.


Kundi la wachezaji hao likiongozwa na nahodha John Terry waliibuka hospitalini hapo na kuanza kugawa zawadi kwa watoto waliolazwa.



Hakuna aliyetarajia kuwa Terry pamoja na mshambuliaji Diego Costa, kipa Petr Cech na viungo Ramirez na Fillipe Luis wangeibuka hospitalini hapo kimyakimya.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic