Mbrazil Victor Nobrega amefanikiwa kushinda kushinda katika pambano la Mixed Martial Arts dhidi ya Philip Mulpeter wa Ireland.
Kutokana na ushindi huo
Nobrega kutoka Brazil ameendelea kutetea taji lake lakini gumzo lilikuwa ni
tege alilompiga Mulpeter.
Teke la mbavu ambalo
lilibadili kasi ya Mulpeter ambaye mwanzo alionekana kuongoza kwa muda mwingi.
Yote michezo lakini huu wa
ngumi na mateke kupigana kwenye cage, nao ni hatari sana.
0 COMMENTS:
Post a Comment