Kiungo
mwenye kasi wa Yanga, Simon Msuva ameshindwa kufanya mazoezi na wenzake leo kutokana
na kubanwa na ugonjwa wa malaria.
Msuva alifika kwenye mazoezi ya Yanga eneo la Uwanja wa Tanganyika Packers Kawe jijini Dar na kuzungumza na kocha wake, Hans van der Pluijm.
Baada
ya hapo, Msuva alikaa kando pamoja na Haruna Niyonzima ambaye pia hakufanya
mazoezi.
Yanga
imekuwa ikiendelea kujifua kwenye Viwanja vya hivyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment