March 2, 2015


Winga mwenye kasi wa Sunderland, Adam Johnson amekamatwa kwa tuhuma za kufanya ngono na msichana mwenye umri wa miaka 15.

Kutokana na tuhuma hizo, Sunderland maarufu kama Black Cat imemsimamisha Johnson aliyewahi kukipiga Man City.

Johnson, alikamatwa akiwa kwenye jumba lake la kifahari lenye thamani ya pauni milioni 1.8.


Gazeti la DailyMail la Uingereza limeeleza, Polisi wasio na magwanda alifikika katika nyumba hiyo na kumtia nguvuni Johnson ambaye pia ni mchezaji wa timu ya taifa ya England.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic