Mashabiki wa mji wa St Etienne nchini Ufaransa
walipata bahati kubwa kuwaona magwiji wa soka wakipambana.
Timu mbili za marafiki wa Zinedine Zidane na
Ronaldo di Lima zikipambana kupambana na umasikini.
Timu ya Zidane ilishinda kwa mabao 9-7 dhidi ya
ile ya Ronaldo lakini ilikuwa raha ya aina yake.
Wakongwe wengine kama
Clarence Seedorf, Fabian Barthez, Jay-Jay Okocha
na Gianluca Zambrotta nao walionyesha ukali wao.
0 COMMENTS:
Post a Comment