May 28, 2015

RAIS MSTAAFU, ALI HASSAN MWINYI AKIWASILI MSIKITINI KABLA YA KWENDA KWENYE MAZISHI.
 Mamia ya wadau wa soka, ndugu jamaa na marafiki wamejitokeza kwa wingi katika mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti mpya wa Villa Squad, Sheikh Omar Alhady.



Rais Mstaafu wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi aliongoza mazishi hayo yalifanyika jijini Dar.

Siku mbili zilizopita, Sheikh Alhady alifariki dunia katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa figo.

Alifariki siku 10 tu baada ya kushinda uongozi wa Villa Squad ambayo iko katika mikakati ya kurejea Ligi Kuu Bara.



PICHA KWA JUHUDI ZA BOSI WA MAWASILIANO WA VILLA SQUAD, IDD GODIGODI.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic