ABOAGYE AKIPAMBANA NA EMMANUEL OKWI KATIKA MAZOEZI YA SIMBA, LEO. |
Mshambiliaji Aboagye Nelson raia wa Ghana ametua jijini Dar es Salaam na kuanza majaribio.
Raia huyo wa Ghana leo alionekana katika
mazoezi ya Simba kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam.
Hata hivyo, hakutaka kuzungumza kuhusiana na
ujio wake Simba akisisitiza ni mapema.
Umbo lake, uwezo na nguvu alizokuwa zkitumia
ilionekana kuwa kivutio kwa mashabiki waliokuwa uwanjani.
Kocha Mkuu wa Simba, Goran Kopunovic amesema
ni mapema kumzumgumzia.
0 COMMENTS:
Post a Comment