Viungo
wawili wakongwe kabisa wa Ligi Kuu England, watacheza mechi zao za mwisho
wikiendi hii.
Wawili
hao, Steven Gerrard na Frank Lampard watakutana tena Marekani ambako wanakwenda
kumalizia soka lao.
Lampard
akiwa West Ham, Chelsea na Man City na Gerrard akiwa na Liverpool, wamekutana
mara 32 katika Ligi Kuu England.
Pia
wamewahi kukutana katika mechi mbalimbali za Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya
mwaka 2005 hadi 2009.
Wawili
hao ni kati ya viungo wa kiwango cha juu kuwahi kutokea England.
0 COMMENTS:
Post a Comment