Ndani ya saa 24 baada ya kumaliza mechi yao ya mwisho
Ligi Kuu England, Manchester City wamefunga safari kwenda nchini Canada kucheza
mechi za kirafiki.
Man City waliomaliza ligi wakiwa katika nafasi ya pili
baada ya ligi hiyo wakiwa wamevuliwa ubingwa na chelsea.
Wamepaa Canada kucheza mechi za kirafiki dhidi ya Toronto
FC katika Uwanja wa BMO na mechi ya pili
watacheza dhidi ya Houston Dynamo saa 24 baadaye.
Halafu watakwenda Marekani kucheza na timu ‘ndugu’ yao
ya New York City jijini New York.
0 COMMENTS:
Post a Comment