May 22, 2015

Pamoja na hali ya vurugu inayoendelea nchini Burundi, Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza ameamua kujipoza kwa kucheza soka.

Nkurunziza aliyeokoka baada ya jaribio la kutaka kumpindua, amefanikiwa kurejea madarakani.

Sasa anataka kuwania nafasi ya urais kwa muhula wanne na wananchi wamekuwa wakipinga hilo.





PICHA NA REUTERS.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic