Pamoja
na hali ya vurugu inayoendelea nchini Burundi, Rais wa nchi hiyo, Pierre
Nkurunziza ameamua kujipoza kwa kucheza soka.
Nkurunziza
aliyeokoka baada ya jaribio la kutaka kumpindua, amefanikiwa kurejea
madarakani.
Sasa
anataka kuwania nafasi ya urais kwa muhula wanne na wananchi wamekuwa
wakipinga hilo.
|
0 COMMENTS:
Post a Comment