July 3, 2015

Beki Mohammed Fakhi aliyesajili Simba, ameanza kazi rasmi katika kikosi hicho.


Fakhi ni kati ya wachezaji wa Simba ambao wamekuwa wakijifua kwenye Uwanja wa TCC Chang’ombe chini ya makocha watatu ambao ni Dlan Kerr, Selemani Matola na Dusan Momcilovic.


Fakhi amejiunga na Simba akitokea JKT Ruvu ili kuongeza nguvu katika safu ya ulinzi ya timu hiyo iliyopania kubadili mambo msimu ujao.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic