July 6, 2015

Cristiano Ronaldo ametoa kali ya karne baada ya kuondoka katikati ya kipindi cha runinga wakati akihojiwa.

Ronaldo aliamua kuondoka wakati akihojiw ana N TV baada ya kuulizwa swali kwamba vipi beki Sergio Ramos atabaki Madrid au atajiunga na Manchester United.

Pamoja na kujibu, “hakika sijui lolote”. Lakini ghafla Ronaldo aliibuka na kutoa headphones shingoni mwake na kumshukuru mtangazaji kabla ya kuondoka.

Mreno huyo amekuwa akisisitiza juhudi zifanyike Ramos kubaki Madrid, lakini haijajulikana swali hilo linalomhusu rafiki yake lilimuudhi kiasi gani.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic