July 29, 2015


Kocha wa zamani wa Simba, Zdravko Logarusic bado mambo yake hayakajaa vizuri nchini Kenya.


Kwani matumaini ya Leopards kuchukua ubingwa yanaonekana ni madogo baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Sony Sugar ikiwa ugenini.

Kipigo hicho kimeifanya timu hiyo ya Logarusic kubaki katika nafasi ya 5 ikiwa na pointi 34 baada ya mechi 20.


Inaonekana haitakuwa lahisi kuishika Gor Mahia timu aliyoifundisha zamani kwa kuwa sasa iko kileleni pamoja na Tusker ambayo inaonekana kuchangamka wakati Gor ikipambana kwenye Kagame jijini Dar es Salaam.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic