July 3, 2015

 Taifa Stars imefanya mazoezi yake ya mwisho leo baada ya kuwasili jijini Kampala kwa ajili ya mechi yake ya pili dhidi ua wenyeji Uganda, kesho.


Stars walifanya mazoezi katika Uwanja wa Nakivubo kabla ya mechi ya kesho kwenye uwanja huo jijini Kampala.

 Stars inatakiwa kushinda kwa mabao 4-0 ili kusonga mbele katika michuano hiyo ya Kombe la Chan.


Ugumu huo unatokana na Stars kupoteza kwa mabao 3-0 katika mechi ya kwanza iliyopigwa kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic