July 28, 2015

Kiungo mkabaji na mchezaji wa Juventus, Arturo Vidal  sasa ni mali ya Bayern Munich.


Mabingwa hao wa Ujerumani wamemwaga kitita cha pauni milioni 28 kumpata Vidal halafu akaanguka wino kwenye mkataba wa miaka minne.
 
Leo amekamilisha usajili baada ya kumwaga wino jijini Munich, Ujerumani.

Raia huyo wa Chile amesema kuwa Bayern ni moja ya timu alizokuwa akiota kuzichezea.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic