July 7, 2015


Hatimaye Yanga na Kimondo zimemaliza kuhusiana na mchezaji Geofrey Mwashiuya.


Katibu Mkuu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha amesafiri hadi mjini Mbozi na mwisho wamefikia mwafaka.

“Kweli tulikaa kama uongozi wa Yanga, tukaona ni jambo zuri kumalizana vizuri na Kimondo.

“Tumemalizana baada ya kukutana nao, wakatupa wanachodai tukaangalia na mwisho tumefikia mwafaka.
“Sasa Mwashiuya ni mchezaji wa Yanga na Kimondo wamelipitisha hilo,” alisema.

Awali, Kimondo ilikuwa ikipinga Yanga kumsajili Mwashiuya huku wakiwataka TFF kuwa makini na kutompitisha.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic