Kocha mpya
wa Simba, Dylan Kerr ameanza mazoezi ya kukinoa kikosi kipya cha Simba. Lakini
ameonyesha wazi kwamba hajaja nchini kufanya mzaha.
Katika
mazoezi yake ya kwanza kwenye Uwanja wa TCC Chang’ombe jijini Dar es Salaam,
Kerr alionekana yu makini na vitu vingi alipenda kuvitolea mfano kwa vitendo.
Mara kadhaa,
kocha huyo alikimbia na wachezaji wake kuonyesha kwamba antaka wafanye vizuri
kweli.
0 COMMENTS:
Post a Comment