August 4, 2015

Dereva maarufu wa magari ya langalanga, aina ya Mercedes, Lewis Hamilton sasa kuna taarifa anajiachia na mwanadada Rihanna.


Rihanna ambaye ni mwanamuziki wa pop, asili yake ni Barbados ambako sasa yeye na Hamilton wako huko.
 
Taarifa zinaeleza wawili hao wamekuwa wakikutana na kuendeleza ‘mambo’ yao.

Hamilton yuko Barbados katika michuano ya langalanga na Rihanna ametua huko kwa ajili ya zile sherehe maarufu kama inavyokuwa Carnival nchini Brazil.

Hivyo wamepata nafasi ya ‘kujipa raha’ wenyewe ingawa hakuna mmoja wao aliyepata nafasi ya kulizungumzia hilo.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic