August 2, 2015

Arsenal imeshinda bao 1-0 dhidi ya Chelsea na kubeba Ngao ya Hisani hata ukipenda ya Jamii, hehe.


Bao hilo la Oxlade-Chamberlain limeipa Arsenal heshima na kuvunja ule mwiko wa kushindwa kuifunga Chelsea ikiwa chini ya Jose Mourinho.

Safari hii Kocha Arsene Wenger ameibuka kidedea kwa kuitwanga Chelsea, lakini akalipa kisasi kingine.


Najua utauliza kipi? Amegoma kumpa mkono Mourinho, dakika kabla mechi haijaisha, huyooo akaingia zake vyumbani kama Mourinho ambavyo amekuwa akimfanyia.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic