October 8, 2015

HAYATOU AKIWA NA MALINZI
Rais wa Shirikisho la Soka la Afrika (Caf), Issa Hayatou ndiye Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).


Hayatou amechukua nafasi ya Sepp Blatter ambaye amesimamishwa kwa siku 90.
Pamoja na Blatter, Rais wa Uefa, Michel Platini naye amekumbana na sakata hilo.


Hivyo, Hayatou anakuwa Rais wa Fifa wa muda na kuweka rekodi ya kuwa Mwafrika wa kwanza kukalia nafasi hiyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic