November 24, 2015


Ikiwa Arsenal itashindwa kuvuka leo kwenda katika hatua ya mtoano itakuwa imeweka rekodi mpya ya kushindwa kufanya hivyo tangu miaka 15 iliyopita.


Arsenal imekuwa ikifuzu hivyo mfululizo baada ya kuwa imefeli kuingia hatua ya mtoano miaka 15 iliyopita.

Leo itakua nyumbani dhidi ya Dinamo Zagreb na Arsene Qenger anachotaka ni kuona vijana wake wanashinda.


Hata hivyo, amesisitiza kama watashindwa kufuzu, basi watacheza kwa juhudi zote wakiwa Europa League.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic