November 25, 2015

 
Chelsea imeitwanga Maccabi Haifa kwa mabao 4-0 ikiwa nyumbani Tel Aviv, Israel.


Mabao ya Chelsea katika mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamefungwa na Cahill, William, Oscar na Zouma.
CHELSEA: Begovic; Azpilicueta, Cahill, Terry (c)/Zouma, Rahman; Fabregas, Matic; Willian, Oscar, Hazard/Pedro; Costa
SUBS: Blackman, Ivanovic, Zouma, Mikel, Loftus-Cheek, Pedro, Remy


 Kwa ushindi huo, Chelsea imechukua uongozi wa Kundi G baada ya kufikisha pointi 10, sawa na FC Porto ambayo imechezea kichapo cha mabao 2-0.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic