November 25, 2015


Timu ya The Golden State Warriors imeweka rekodi ya kushinda mechi 16 za mwanzo wa msimu kwa kuitwanga LA Lakers katika Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani maarufu kama NBA.


Lakers inayoongozwa na nyota Kobe Bryant imeshindwa kufua dafu dhidi ya Worriors iliyoibuka na ushindi wa 111-77.

Stephen Curry ndiye alikuwa mwiba kwa wachezaji wa Lakers akiwemo Kobe ambao walishindwa kumdhibiti kabisa.

ANGALIA MAPICHA YA ACTION.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic