November 25, 2015


Chelsea imeitandika Maccabi Haifa ya Israel kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi aya Mabingwa Ulaya, hatua ya makundi.

Lakini gumzo ni kiungo Mbrazil, William ambaye alifunga moja ya mabao hayo manne lakini kwa mkwaju hatari wa mpira wa adhabu maarufu kama ‘mipira iliyokufa’.


William sasa amekuwa tegemeo la Chelsea katika upigaji mikwaju hiyo, hakika dogo ni mbaye asee.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic