March 30, 2016

 Miss Tanzania 2001 na mwenyekiti wa Taasisi ya Millen Magese, Millen Happinnes Magese (kulia) akiwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Hamis Kigwangala ambaye alikuwa mgeni rasimi katika semina juu ya ugonjwa wa Endometrosis jijini Dar es Salaam, leo.

  1. Waliowahi kushika taji la Miss Tanzania, Queen David na Genevieve Mpangala wakifuatilia kwa umakini semina hiyo iliyofanyika kwenye Shule ya Sekondari ya Turiani, Magomeni

Waziri Kigwangala




Jaydee na Jokate walikuwepo...

Mwanamitindo mkongwe kutoka Tanzania, Tausi Likokola (kulia) alikuwepo pia



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic