March 17, 2016


Wachezaji wanne wa Yanga wataendelea kubaki jukwaani wakati Yanga ikipambana na APR ya Rwanda katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika keshokutwa Jumamosi.

Said Juma ‘Makapu’ ana maralia, Simon Matheo ni majeruhi, nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’ bado majeruhi. Huku Juma Abdul akiwa na kadi mbili za njano.

Yanga in a kibarua kigumu dhidi ya APR licha ya kwamba ilianza kwa ushindi wa mabao 2-1 ugenini.


Juma Abdul ana kadi mbili za njano na tayari Shirikisho la Soka Afrika (Caf), limeitaarifu Yanga kukumbuka hilo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic