April 5, 2016

INFANTINO AKIMILIKI MPIRA HUKU CAFU AKIWA TAYARI KUMSAIDIA...
Rais wa Fifa, Gianni Infantino ameendelea kuonyesha mapenzi take ya kucheza soma uwanjani baada ya kucheza mechi iliyojumuisha nyota mbalimbali duniani dhidi ya nyota wa Bolivia ambako mechi hiyo ilichezwa.

Nyota wa Bolivia waliongozwa na Rais Evo Morales huku Infantino akiwangoza nyota mbalimbali kutoka Amerika Kusini kama Cafu, Faustino Asprilla, Pablo Aimar, Roberto Ayala na Martin Palermo, pamoja na nyota pekee kutoka Ulaya, Fernando Hierro ambaye ni nahodha wa zamani wa Real Madrid na Hispania. CHEKI ILIVYOKUWA HIYO SIKU NNE ZILIZOPITA.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic