April 2, 2016


Mshambuliaji nyota wa PSG, Zlatan Ibrahimovic ameendelea kuonyesha makali yake baada ya kufunga mabao matatu wakati timu yake ikiitwanga Nice kwa mabao 4-1.

Hiyo ilikuwa ni mechi ya Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama League 1.

Hatem Ben Arfa aliifungia Nice bao moja, lakini Zlatan akapiga hat trick huku beki David Luiz akapiga moja.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic