April 5, 2016


Wanaopewa nafasi ni pamoja na Romelu Lukaku, Ednson Cavani pia Gonzalo Higuain.


Safu ya ushambulizi ya Chelsea imeonekana kutokuwa na makali sana, hivyo lazima kocha huyo Muitaliano atataka kufanya mabadiliko.

Conte amepata mafanikio makubwa akiwa na Juventus, lakini ana kazi ya kuirejesha Chelsea kwenye heshima yake baada ya kufeli msimu huu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic