April 10, 2016


Bundi anaanza kukaza macho kwa Barcelona baada ya kupoteza mechi yake ya pili ndani ya mechi tatu za La Liga.

Barcelona imekutana na kipigo cha bao 1-0 ikiwa ugenini dhidi ya Real Sociedad ambayo ilicheza vizuri katika kipindi cha kwanza na kupata bao kupitia Kimel Oiarzabal katika dakika ya 5.


Jitihada za Lionel Messi na Neymar kutaka kusawazisha hazikuzaa matunda hadi dakika za mwisho.

Ndani ya mechi tatu, imepoteza mbili baada ya kuchapwa na Real Madrid kwa mabao 2-1, ikaamka na kuitwanga Atletico Madrid 2-1 kabla ya kukutana na kipigo cha leo.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic