Luis Suarez sasa hakamatiki baada ya kukaa kileleni kwa ufungaji bora wa mabao katika La Liga.
Suarez ameifungia Barcelona mabao manne katika mechi ambayo
Barcelona imeitwanga Sporting Gijon kwa mabao 6-0.
Kabla ya hapo, Barcelona ilishinda kwa mabao 8-0 dhidi ya
Derpotivo la Coruna.
Hivyo kumfanya Suarez awe amefunga mabao nane katika mechi
mbili.
0 COMMENTS:
Post a Comment