April 26, 2016


Mshambuliaji Jamie Vardy atakosa mechi moja zaidi ya Leicester City.

Mechi inayofuata ni dhidi ya Manchester United, adhabu ambayo anaipata baada ya kumfokea mwamuzi aliyemlamba kadi.

Kamati ya Sheria ya FA, yenye watu watatu imepitsha hilo.


Hii itakuwa ni mechi ya pili Leicester inacheza bila ya Vardy. Mechi iliyopita iliitwanga Swansea kwa mabao 4-0 mchezaji huyo akiwa jukwaani na mpenzi wake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic