May 23, 2016

ABAJALO
(DRFA),kimezipongeza timu za Makumbusho FC, Sifa Politan na Zimamoto kwa kufanikiwa kuingia katika ligi za mikoa baada ya kufanya vizuri katika michezo yao.

Klabu ya Zimamoto itakwenda kucheza mkoani Njombe wakati Makumbusho na Sifa Politan wanakwenda kucheza mkoani Morogoro.


Pia klabu ya Abajalo FC  nayo imepongezwa kwa mafanikio ya kutinga ligi daraja la kwanza na kuwataka kuzidisha mapambano ili wapige hatua nyingine zaidi ya kufika ligi kuu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic