May 25, 2016

JUMA ABDUL JAFFAR
Beki wa kulia wa Yanga, Juma Abdul amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Shirikisho.

Yanga ndiyo mabingwa wa Kombe la Shirikisho baada ya kuitwanga Azam FC kwa mabao 3-1 katika mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.


Wakati Juma anakuwa mchezaji bora, Kipa wa Azam FC, Aishi Manula ametangwa kuwa kipa bora na mshambuliaji wa Ndanda FC, Atupele Green ndiye mpachikaji mabao bora.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic