May 23, 2016


Kocha Jose Mourinho ameonekana akisimamia kazi ya kuhama katika eneo la West London jijini London.

Wakati Mourinho anasimamia zoezi hilo, hakuna ubishi sasa anahamia jijini Manchester kwa ajili ya kuanza kazi mpya.


Baada ya kocha Louis van Gaal kutupiwa virago licha ya kutwaa Kombe la FA, kocha anayeelezwa anajiunga na Man United ni Jose Mourinho.





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic