June 13, 2016




Bodi ya Ligi (TPLB) ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza makundi matatu ya timu zitakazoshiriki Ligi Daraja la Kwanza ya StarTimes msimu wa 2016/2017. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza Agosti, mwaka huu mara baada ya kukamilisha mchakato wa usajili unaoanza Juni 15, 2016.

Makundi hayo yenye timu nane (8) kwa kila moja, yamegawanywa kwa alama ’A’, ‘B’ na ‘C’.

Kundi A:
1        Abajalo ya Dar es Salaam
2        African Sports ya Tanga
3        Ashanti United       ya Dar es Salaam
4        Kiluvya United ya Pwani
5        Friends Rangers ya Dar es Salaam                 
6        Lipuli  ya Iringa               
7        Mshikamano FC ya Dar es Salaam         
8        Polisi Dar ya Dar es Salaam
                 
Kundi B:
1        JKT Mlale ya Ruvuma
2        Coastal Union ya Tanga
3        Kimondo FC ya Mbeya
4        Kinondoni Municipal Council      ya Dar es Salaam
5        Kurugenzi     ya Iringa
6        Mbeya Warriors ya Mbeya
7        Njombe Mji  ya Njombe
8        Polisi Morogoro      ya Morogoro

Kundi C:
1        Alliance Schools ya          Mwanza
2        Mgambo Shooting   ya Tanga
3        Mvuvumwa FC ya    Kigoma
4        Panone FC ya Kilimanjaro
5        Polisi Dodoma        ya Dodoma
6        Polisi Mara   ya Mara
7        Rhino Rangers        ya Tabora
8         Singida United ya Singida


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic