June 26, 2016



 Timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys imeanza vema katika kuwania nafasi ya kushiriki michuano ya Afrika ya vijana chini ya miaka 17 baada ya kuitwanga Shelisheli kwa mabao 3-0.

Katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Segengeti Boys ingeweza kupata mabao mengi zaidi kama washambuliaji wake wangekuwa makini.

Hata hivyo, walipoteza nafasi nyingi sana na baadaye walionekana kuridhika na ushindi huo.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic