July 1, 2016


Unaweza kusema kama zali mwanangu, maana Ureno iliyokuwa inaonekana itaishia hatua ya makundi ya Kombe la Euro, leo imetinga nusu fainali.

Ureno inayoongozwa na nahodha wake Cristiano Ronaldo imetinga nusu fainali kwa kuibandua Poland kwa mikwaju 5-3 ya penalti.

Changamoto ya mikwaju ya penalti ilipewa nafasi baada ya sare ya bao 1-1 katika dakika 90 na baadaye 120.

Poland starting XI: 
Fabianski, Piszczek, Glik, Pazdan, Jedrzejczyk, Blaszczykowski, Krychowiak, Maczynski (Jodlowiec), Grosicki (Kapustka), Milik, Lewandowski

Portugal starting XI:
Rui Patricio, Cedric, Pepe, Fonte, Eliseu, William Carvalho (Danilo), Joao Mario (Quaresma), Renato Sanches, Adrien Silva (Moutinho), Nani, Ronaldo










0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic